MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Tunakumbuka sana baada ya Rais Magufuli kupiga marufuku uingizwaji wa sukari kutoka nje mlikaa vikao na kujipongeza na kisha kumpongeza Mh Rais kufikia uamuzi huo!
Kinachoshangaza mlienda mbali zaidi mkakaa na bodi ya sukari nchini mkapanga na bei elekezi ya shilingi 1800@kilo, lakini kwa sasa mko kimya mnatufichia sukari hali iliyopelekea bei ya sasa kufikia Mara mbili ya bei elekezi ya awali.
Inawezekana kabisa mnafanya makusudi kuutega utawala wa serikali ya sasa kama ilivyokua kwa wafanyabiashara wa mafuta ya vyombo vya moto kwa serikali ya awamu ya nne.
BODI YA SUKARI NCHINI IVUNJWE, HAINA TIJA KWA TAIFA.
Hii bodi tangu hali ya upatikanaji sukari nchini kua mbaya iko kimya! Haioneshi msaada wowote kwa serikali kitu ambacho inatia shaka kwamba inashirikiana na Wafanyabiashara wa sukari kuhujumu uchumi wa nchi. Ni muda mwafaka kwa mamlaka husika kuimulika bodi hii haina tija yeyote.
Kinachoshangaza mlienda mbali zaidi mkakaa na bodi ya sukari nchini mkapanga na bei elekezi ya shilingi 1800@kilo, lakini kwa sasa mko kimya mnatufichia sukari hali iliyopelekea bei ya sasa kufikia Mara mbili ya bei elekezi ya awali.
Inawezekana kabisa mnafanya makusudi kuutega utawala wa serikali ya sasa kama ilivyokua kwa wafanyabiashara wa mafuta ya vyombo vya moto kwa serikali ya awamu ya nne.
BODI YA SUKARI NCHINI IVUNJWE, HAINA TIJA KWA TAIFA.
Hii bodi tangu hali ya upatikanaji sukari nchini kua mbaya iko kimya! Haioneshi msaada wowote kwa serikali kitu ambacho inatia shaka kwamba inashirikiana na Wafanyabiashara wa sukari kuhujumu uchumi wa nchi. Ni muda mwafaka kwa mamlaka husika kuimulika bodi hii haina tija yeyote.