iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Ccm ilikiri kwamba haina bilioni mbili za kufanyia mkutano Mkuu mwezi June,na kwamba,katika baadhi ya mapendekezo ya kupata pesa ni kutoka kwa marafiki wa chama,ni wazi kwamba mwananchi wa kawaida hana uwezo wa kuwa na bilioni mbili,ni wafanya biashara tu,
Habari zilizopo ni kwamba jk anataka kumuachia uenyekiti magufuli, ni wazi magu yuko mtegoni kukabidhiwa chama na wafanyabiashara
Habari zilizopo ni kwamba jk anataka kumuachia uenyekiti magufuli, ni wazi magu yuko mtegoni kukabidhiwa chama na wafanyabiashara