happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,394
Jamani wanaume jitahidini sana tena kwa bidii kuelewa wake zenu wanataka nini kwenye ndoa. Kuna wanawake wanaoolewa wakitaka mapenzi tu, kuna wanaotaka pesa na mapenzi, kuna wanaotaka kutoa mikosi kwa kuolewa, kuna wanaotaka watoto tu, kuna wanaotalii kwenye ndoa, kuna wanaotaka ndoa kikweli kweli, kuna wanaotaka hifadhi tu, kuna wanaoolewa kwa sababu wamekuta utamaduni huo na mambo mengi ambayo utayajua ukiwa makini kujua mkeo anataka nini.
Hivi umeshawahi kufikiria mkeo anataka nini?
Na wewe mwanamke ushawahi kufikiria kwa nini umeolewa au utaolewa na unataka nini kwenye ndoa?
Fungukeni wandugu.
Hivi umeshawahi kufikiria mkeo anataka nini?
Na wewe mwanamke ushawahi kufikiria kwa nini umeolewa au utaolewa na unataka nini kwenye ndoa?
Fungukeni wandugu.