M mwakipesileseba Member Joined Oct 18, 2013 Posts 16 Reaction score 14 Aug 17, 2017 #1 Wataalamu wa kilimo naomba msaada, mahindi yameshambuliwa na wadudu. Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana ni msimu wa pili mfulululizo mahindi yanashambuliwa.
Wataalamu wa kilimo naomba msaada, mahindi yameshambuliwa na wadudu. Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana ni msimu wa pili mfulululizo mahindi yanashambuliwa.
STUKA M1 JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 7,409 Reaction score 6,997 Aug 18, 2017 #2 Tumia NINJA... Maelezo yote ya namna ya kutumia yapo humu kwenye dawa
Elijah O JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 1,127 Reaction score 930 Aug 18, 2017 #3 Dudumectin nzuri Sent using Jamii Forums mobile app
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,557 Reaction score 28,432 Aug 18, 2017 #4 Tumia Dudu wall