afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,215 Oct 6, 2011 #3 Njoo uchukue... "staki nikamate kwanza " Njoo uchukue .. "staki hata ukinikamata "..
Novatus JF-Expert Member Jul 28, 2007 330 37 Oct 6, 2011 #4 mbona niliishaitoa kazi ya masharobalo. wakijaza wanatimua
sekulu JF-Expert Member Jan 17, 2011 988 157 Oct 6, 2011 #6 ndo staili za mademu, ukiwa unawatafuta wanakuwa na pozi ukiwapa amira wana kuwa wapole alafu wanaume ndo wanaanza kukimbia LOL
ndo staili za mademu, ukiwa unawatafuta wanakuwa na pozi ukiwapa amira wana kuwa wapole alafu wanaume ndo wanaanza kukimbia LOL
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Oct 6, 2011 #7 Kukimbia majukumu ambayo ulitumia ushawishi wa hali ya juu kuyapata. Wakati ukimtafuta ulimfuata kokote alikokuwa sasa majukumu yanakuja unakimbia, hapo bado, kazi sio kulea hicho alichonacho bali atakacholeta.
Kukimbia majukumu ambayo ulitumia ushawishi wa hali ya juu kuyapata. Wakati ukimtafuta ulimfuata kokote alikokuwa sasa majukumu yanakuja unakimbia, hapo bado, kazi sio kulea hicho alichonacho bali atakacholeta.
SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 Oct 6, 2011 #8 hahahaha..! yani mabinti wakiwa wabichi wanaringa ile mbaya mpaka umpate..??? lakini wakizeeka wanaanza wao kutongoza...! heheheh
hahahaha..! yani mabinti wakiwa wabichi wanaringa ile mbaya mpaka umpate..??? lakini wakizeeka wanaanza wao kutongoza...! heheheh