Wadau picha hii inatufundisha nini?

FUKO LA DHIKI

JF-Expert Member
May 8, 2011
463
144
mambo.jpg
Wewe njooo mbona unanikimbia?
 
Njoo uchukue... "staki nikamate kwanza "

Njoo uchukue .. "staki hata ukinikamata "..
 
ndo staili za mademu, ukiwa unawatafuta wanakuwa na pozi ukiwapa amira wana kuwa wapole alafu wanaume ndo wanaanza kukimbia

LOL
 
Kukimbia majukumu ambayo ulitumia ushawishi wa hali ya juu kuyapata. Wakati ukimtafuta ulimfuata kokote alikokuwa sasa majukumu yanakuja unakimbia, hapo bado, kazi sio kulea hicho alichonacho bali atakacholeta.
 
x9yJL+gmEXqYwAAAABJRU5ErkJggg==


hahahaha..!
yani mabinti wakiwa wabichi wanaringa ile mbaya mpaka umpate..???

lakini wakizeeka wanaanza wao kutongoza...! heheheh
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom