watu wa mikoani walipiga hesabu maximum kukaa hapa siku 3. sasa naona week hii inaisha kudadeki... hafu uambiwe oral tar 18, sijui utarudi kigoma hafu uje tena au utakausha hapa hapa?
najua humu tpdc mnapitaga pitaga.. wazee, sio wote kwao dar, watu wametoka mbali, bora mtoe matokeo ya kuanzia tar 08 na hao waliofahuru usaili waambiebi lini oral?