Wadau nishaurini kwa hili

hivi nyie mnaomshauri aachane na mkewe mnataka awaoe yie??? Agrrrrh! Mbona kama hujiamin ndugu? We ulifanya uchunguz hukugundua chochote, leo kwa kuambiwa unaanza kupaniki. Maneno ya kuambiwa kwenye ndoa kuwa nayo makini sana
 
mkuu hebu tuwe wa kweli....

hivi muda wote uliokuwa chuoni HUKUCHAKACHUA??

ushairi wangu ACHA TABIA YA KUKAA MBALI NA MKEO. Fimbo ya mbali haiui nyoka.

Kiukweli kabisa nimechakachua, ila hata yeye nilimwambia, ilikuwa hivi, baada ya kudeliver, aligoma kabisa kugegedana mwaka mzima kwa madai kuwa analea. Nikamwambia ananiwekea mazingira magumu, asije akanilaumu nikitafuta kidumu. Akanambia bora tu nikatafute kidumu kuliko yeye kugegedana. Mie nikafanya kweli, alipokuja kusikia kawa mbogo, nikamkumbusha nilipomtahadharisha mapema kabisa. Niambie hapo nilikosea?!
 
Kitanda hakizai haramu mzigo wako huo, ulee tu kaka.

Si rahisi kaka kama unavyodhani, heri nisingejua kabisa! Najua wengi wapo kama mimi, wanalea watoto si wao ila hawajui.
 
sitaki kusutwa mie.....ila kwanini unaishi na mchumba?
 

kaa na mkeo myamalize usipende fanya maamuzi kwa story za kusikia
 
Hata huyo aliyekuletea hayo maneno naye vile vile ni swatana. Kuoa mke na kumwacha muda mrefu nayo pia ni mbaya. Kupima dna hata wewe utadhoofika kwa kuwa moja kwa moja siyo mwanao. Chukua uamuzi mgumu wa kusema na mkeo. Akiomba msamaha maisha yaendelee tu. Hata ukaoa mwingine hawa watu tabia hazipishani sana. pole mtoto wa kiume be strong.
 
why suffer msomi mzima umeenda shule kufanya nini
...........go for DNA broda
 
sitaki kusutwa mie.....ila kwanini unaishi na mchumba?

Hii kitu ingetokea nikiwa nimefunga ndoa, ningekuwa na hali ngumu zaidi. Kwa maneno mengine, imenisaidia kupunguza msongo kwa kuwa najua ikithibitika habari ni za kweli, kutakuwa na options nyengine kirahisi!
 
ikiwa ndoa zenyewe ndo hizi bora kutokuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…