agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
jina lenyewe baby...inaonyesha hata gheto huna unaendaga kuomba kwa mshikaji
Ungekuwa na ela usinge tafuta watoto wa matajiri wewe..nenda kafanye kazi,wavulana mna njaa sana siku hizi. Linganisha rates zako za hao unaowaita watoto wa matajiri ndio utagundua njaa kali kwako.Hela siye tunazo za kwetu na nyie tafuten za kwenu muache uomba omba
MKUU FIKISHA MADEM WA KITAJIR 900 ITAPENDEZA
jina lenyewe baby...inaonyesha hata gheto huna unaendaga kuomba kwa mshikaji
Tukiacha kuwakutongoza nyie si huwa mnaenda kushinda kwa waganga wa kienyejiUkishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
c ndo 2naolewa na mana zenu.. umenielewa kibonge?See. Mariooo on Fleek. Acheni kupenda vy bure...mtaolewa
Uzuri ni kwamba kuweka mgomo hamuwezi kabisa. Kwahiyo 'baby' pambana tu na uanaume wako. Huo ndio uanaume sasa.Tukiacha kuwakutongoza nyie si huwa mnaenda kushinda kwa waganga wa kienyeji
Mna nini sasa nyie tukianzisha mgomo hapa si mtatafutana
Kibonge mie nina matata unadhani. At least ume declare umarioooo.c ndo 2naolewa na mana zenu.. umenielewa kibonge?
Sasa mambo ya mama yamefikaje hapa?Mbona mnakosa adabu nyie watoto?c ndo 2naolewa na mana zenu.. umenielewa kibonge?
Tatizo lako unatembea na wanafunzi alafu unatujumuisha wanawake wote. Ngoja nimtafute Ndalichako.Uanaume sister espy punguzen njaa then tafuten kaz za kufanya
Ndo hivyo mkuu nimejitoa mhanga kiongozLondon Boy leo umeleta uzi wa kuwanyoosha na wamepata ukakasi kweli kweli..
Asee leo ngosha inaonekana umeamka vizuri. Hongera kwa kuthubutu kuwachana live
mimi sio mario nimekujibu ushuzi kwa kuleta topic ya kiushuzi ushuzi. ustoke nje ya mada fanya kazi tafuta hela zako acha kuombaomba ka matonyaKibonge mie nina matata unadhani. At least ume declare umarioooo.
Lakini kama unajijua wewe marioo,basi huna tofauti na wadada wanaoomba ela wakifanya mapenzu na wapenzi wao.
Tofauti tu wao wanafanywa na wewe unafanya,tuliza mshono.
Uwe na amani sasa mariooo.
Kumbe dogo umeolewa!!!c ndo 2naolewa na mana zenu.. umenielewa kibonge?
Hawezi kulalamika maana kanipenda kwa umaskini wangu na raha ya mwanaume akuhudumieTafuta kabisa aisee hata huyo ulinaye usikute haishi kulalamika sema tu hajakwambia
Hapo amepaniki mpaka anashindwa kujizuia. Chedhea mtu aguse ukweliSasa mambo ya mama yamefikaje hapa?Mbona mnakosa adabu nyie watoto?
kuwa mpole ombaomba.Kumbe dogo umeolewa!!!
Basi nisamehe kwa kukujibu awali, kosa sio lako.