Wadada warembo wana mambo sana

Wadada warembo wana mambo sana

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,219
Wadada warembo wao wamebobea kwenye kuchagua mavazi tu ya kumpendezesha lakini kwenye unyumba wazito sana,yaani panapo 6*6 wao hulala tu kama vile yupo matanga.
 
We umekutana na wasojua mambo mbn wanaojua kulisakata wapo?Tatizo mnaangalia sn uzuri wa sura!Dn't judge a book by it's cover dear!
 
zubedayo

Wanaleta udadadu mpaka kwenye mambo ya msingi siyo? Labda unaokutana nao hawajui na walitegemea mavunzo kutoka kwako...unamwambia kushoto, kulia tenaaa ....sasa wewe kila unaekutana nae unadhani dereva na malena pia wamejaa
 
Last edited by a moderator:
Wanaleta udadadu mpaka kwenye mambo ya msingi siyo? Labda unaokutana nao hawajui na walitegemea mavunzo kutoka kwako...unamwambia kushoto, kulia tenaaa ....sasa wewe kila unaekutana nae unadhani dereva na malena pia wamejaa

hatari sana, unamwona bint mrembo lakini kwenye shughuli ,ukimwelekeza twende kushoto una jibiwa utaharibu shepu yake
 
Mimi ninachojua wadada warembo mara nyingi hununua vocha za bei rahisi na wana njaa sana. Hilo la uvivu bado sijakutana nae.
 
hatari sana, unamwona bint mrembo lakini kwenye shughuli ,ukimwelekeza twende kushoto una jibiwa utaharibu shepu yake
Hhahahahahhah ila kuna wengine wako overspeed utaomba ukutane na huyo anaehesabu misumari ya bati huku wewe unajipimia...
 
Nje wazuri na warembo,kila fashion wanajua,ila 6 * 6 wachafu,bonge la mrembo msafi kwa nje ndani mchafu
 
Hhahahahahhah ila kuna wengine wako overspeed utaomba ukutane na huyo anaehesabu misumari ya bati huku wewe unajipimia...

si afadhari huyo ,mwengine anakuachia kazi yote anakwambia baby we endelea mi nachati na group la tulosoma wote shule ya msingi.....hana muda kabisa.
 
si afadhari huyo ,mwengine anakuachia kazi yote anakwambia baby we endelea mi nachati na group la tulosoma wote shule ya msingi.....hana muda kabisa.
Heri huyo anaechat mwingine kitu ishazama we unategemea kuambia unaniumiza mbadala yake unaambia zamisha basi baby wakati wewe kila kitu ushamalizia huko...Sijui unajibu nini hapo?
 
Heri huyo anaechat mwingine kitu ishazama we unategemea kuambia unaniumiza mbadala yake unaambia zamisha basi baby wakati wewe kila kitu ushamalizia huko...Sijui unajibu nini hapo?

Alafu watanashati hao si mchezoooooooo
 
Hahah kama ana mood au hujaeka hela kwenye cm unategemea nin? We hata kapay ka maji ya kunywa hutoi tegemea ukutane na wa hvyo. Teh teh teh anakupa huku anajisemea angejua moyo unavoboreka balaa.
 
si afadhari huyo ,mwengine anakuachia kazi yote anakwambia baby we endelea mi nachati na group la tulosoma wote shule ya msingi.....hana muda kabisa.

hahahahaaa... daaah.. kama ni hvyo ujue umewekwa "friendzone" .. unapewa mamboz kisela tuu..
 
Back
Top Bottom