Wadada wanaojiuza wanakera sana!

Biashara matangazo
 
Pale Mbeya kwenye Junction/mataa ya mafiat ukipita mida ya kuanzia saa moja labda na mtu unaeheshimiana nae, kwa jinsi wale wadada wauza wanavyokushokea hadi mtu unaeheshimiana anaweza hisi wewe ni mdau. Huwa najifanyaga naongea na simu kuwakwepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…