Wadada tufunguke!

Gorgeousmimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
9,296
Reaction score
7,688
Habari,
Hivi mashostito na mabestito mkikerwa na wenza/wapenzi/waume zenu mnachukua hatua gani?Una keti na kumueleza mwenza wako juu ya kero yako?Unatumia ishara kama kununa,kususa,kuzira au ndo kula bati? au unapuuzia tu?
Wanaume walio wengi ni wagumu kupokea critics na kujishusha kwa mwanamke refer kwa post https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/647284-swali-kwa-wanaume.html lakini je kama mwenza wako hatokubali kumaliza mfarakano unafanyaga nini?

Karibu wapenzi!
Cc kingasti lara 1 Kongosho farkhina Husninyo miss neddy masai dada Evelyn Salt Ablessed Vaislay badiebey Kaunga ladyfurahia Chujio mwallu Ennie Ablessed, Heaven on Earth miss chagga snowhite everlenk Fixed Point tinnacute Jawilat Valentina amu charty sister Sista Mrembo by Nature jamiif Namless girl DEMBA Eshy m.s mimiks Blue G Lizzy Kim nana ICHANA Mom Fay bibi.com DinaZARADE Zinduna gfsonwin Angel Nylon princess sayuni Rapunzel na wengine nilowasahau
 
Last edited by a moderator:
Kuongea tu...lkn kwanza unamchunia kama masaa24
 
I pray nipate nguvu ya kusamehe na kupuuzia maudhi/kero na kuendelea na mambo yangu kama vile hamna kilichotokea. Maisha ni mafupi gorgeousmimi kubeba kero na kuhifadhi hasira/kinyongo. Yawezekana ndivyo alivyo, kwahiyo ni vizuri kuichukulia kama udhaifu wake huku ukimwombea na kumvumilia tu kwa upendo. Naamini upendo pekee ndio unaoweza kubadilisha hali yoyote
 
Umejaaliwa moyo shupavu sana mpendwa,mungu akubariki uendelee hivohivo,inamaana wewe rafiki hata ukerwe vipi unasamehe na kuendelea na maisha😕 laiti wanaadamu wote tungekuwa hivo,dunia hii ingekuwa pepo kwa kweli!!
 
Umejaaliwa moyo shupavu sana mpendwa,mungu akubariki uendelee hivohivo,inamaana wewe rafiki hata ukerwe vipi unasamehe na kuendelea na maisha😕 laiti wanaadamu wote tungekuwa hivo,dunia hii ingekuwa pepo kwa kweli!!

Nadhani inategemea na mtu rafiki, wengine huwa si rahisi kukwazika hali wengine it's just a matter of seconds ameshawaka moto! huwezi kumsogelea mkaongea na yakaisha kwa amani...
 
hata ukinuna na wewe hiyo haileti faida zaid ya kubomoa zaidi...

kilichobora ni kukaa chini na kuongea..tho hayo mzungumzo nayo angalia mnafanyaje/mnaongeaje maana maneno yanaweza kujenga au kuharibu zaidi...
 
Mi kwakweli nikiwa na hasira huwa siwezi kuongea, huwa nauchuna tu...
akinikera namwandikia msg hata kama nipo nae hapo hapo namweleza alivonikera
it depend na mood yake kuna muda anasema sorry kuna muda anajidai kidume
whatever response yake itakavokuwa mi najisikia amani kwa kuwa nshasema yangu
naamini anajifanya kidume machoni tu ila moyoni kakiri
kifuatacho na act kama mwanamke natafta tu namna tugegedane na huo ndo unakuwa mwisho wa kesi.....
 

Nakuaminia Safi sanaaa!
 
Zamani nlikuwa naliiiiaaaaa, Akinikalia vibaya namchaaaaamba, na vile wanaume hawapendi kujishusha basi ugomvi kila siku.
siku hizi nikikerwa natulia kwanza, kama kununa nanuna ikiwezekana na simu nazima.
Kama tuko pamoja nanyamaza kimya, kwa jinsi nilivyo talkertive nikinyamaza mwenyewe anajiongeza....!
Hasira zikiniisha ndo namwambia tena taratibu jinsi nlivyokereka. Toka nianze kufanya hivi siku hizi sigombani na mpenzi wangu ovyo.
 
Kama simpendi nitanyamaza tu na kumpuuzia, ila kama nimezama kwake. Ajue tu akileta ujinga tutagombana ugomvi mkuu
 

And by the way, mgegedo wa aina hii ni mtamu kuliko maelezo. Sijui kwa nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…