Wadada na makalio yao

Itakuwa basi jide katoa pichu za ndi ndi ndi
 
Ikiwa unamwona mwanamke kajivalia gauni unahamasika kingono kwanini ukiwa darasani ukiona maswali ya mtihani huhamasiki kufaulu?
hahahahaha Mkuu una akili sana inaelekea. Yaan wewe umeamua kutoka nje ya mada kabisa.

hahaahaaaa
 
lazima utambue kuwa hata gari lingekuwa kubwa kiasi gani lakini seat ya dereva ni ile ile tu
 
Haise ni kweli mtupu,yaani mpaka tubibi nato ni mtindo mmoja tu kushindana na wajukuu zao
 
Nyie mwavaa milegezo almaarufu kata k, boxa za tmk wanaume mnaacha nje.... Yani suruali ipo chini ya kalio mbona hamlalamikiwi?
Hakuna anaevunja sheria......
kwa na ww unavutiwa na milegezo hata kufikia hamu ya kututamani kufanya na sisi ngono?
 
any supportive photos please? wengine tupo vijiji vya mbali sana hatujawahi kukutana na she aliyevalia suruali
 
Ukitamani yangaza njaa mkuu,huku hata ulalamike vipi hutawleweka.pochi manyoya lazima ikae sokoni
 
Nyie mwavaa milegezo almaarufu kata k, boxa za tmk wanaume mnaacha nje.... Yani suruali ipo chini ya kalio mbona hamlalamikiwi?
Hakuna anaevunja sheria......
Kwani na nyie mnategekea tukivaa hivo!?
 
Sidhani kama kuna wanawake wanaojiheshimu kwa maeneo ya mijini kwa kua huwezi kumjua alieolewa na ambae hajaolewa wote mantanange tu tena wake za watu ndio wanaongoza kwa hili
Hakuna namna lazima tuwatokelezee tu wanataka wenyewe kuamsha hisia zetu za ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…