JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Jirani kwangu nimeshuhudia demu anayeishi kwa wazazi wake baada ya wazazi na kaka zake kuelekea kanisani kaja jamaa wa mtaa wa pili kaingia ndani. Kwa umbea wangu nikaruka fensi hadi dirishani kwa mdada nikasikia sauti za miguno na kutekenyana. Ujasiri ulinipanda nikapenyeza mkono nikafunua dirisha nikawaona live wakigegedana. aibu iliyomkumba mdada akaruka kitandani jamaa nae nduki kakimbilia kusikojulikana. Kwa fedhea aliyoipata uyu dada sizani kama atakuja kunisemea kwa wazazi wake kwa kumvamia dirishani kwake. Hebu nipeni ushauri nimfanye nini uyu mdada maana tukio lote nimerekodi kwenye simu sijui nimtumie WhatsApp tuyamalize juu kwa juu.