Wadada kabla na baada ya kujiwekea make ups!!!!!!!

Mwingine huyu hapa chini,
 

Attachments

  • make up 5.jpg
    16.5 KB · Views: 243
  • make up 4.jpg
    15 KB · Views: 215
Ebwana eeh kumbe uzuri wa pakacha.....
 
Ebwana eeh kumbe uzuri wa pakacha.....

Ukikutana nao njiani wanavyojishatua mpaka mwenyewe utababaika,
hebu mvizie akiwa ajapiga make up unaweza ukamkimbia.
 
Ukikutana nao njiani wanavyojishatua mpaka mwenyewe utababaika,
hebu mvizie akiwa ajapiga make up unaweza ukamkimbia.

Halafu akijistukia hajaweka hayo mamakeup anakuwa mpole kama maji mtungini.
 
Jamani sio ndio maana hata chakula kinapopikwa watu wanatia viungo ili kinoge? Nyama ikichemsha tu kisha inawekwa mezani na ugali bila kiungo! Mmmhh!! Lakini yote ni uamuzi.
 
Jamani sio ndio maana hata chakula kinapopikwa watu wanatia viungo ili kinoge? Nyama ikichemsha tu kisha inawekwa mezani na ugali bila kiungo! Mmmhh!! Lakini yote ni uamuzi.

Ni wewe bi mkora wa msamvu? Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
Enzi zile za mwalimu tulikuwa tuna ambiwa ukitaka kumjua mwanamke mzuri kamwone wakti anatoka kuamka.
 
Siku hizi Kilakitu madukani tu, hata ubikra sikuhizi kwa shop....
 
Mjini hapa ukijichanganya inakula kwako. We ukitaka kuchagua kimwana vizia wanachota maji bombani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…