Jamani sio ndio maana hata chakula kinapopikwa watu wanatia viungo ili kinoge? Nyama ikichemsha tu kisha inawekwa mezani na ugali bila kiungo! Mmmhh!! Lakini yote ni uamuzi.
Jamani sio ndio maana hata chakula kinapopikwa watu wanatia viungo ili kinoge? Nyama ikichemsha tu kisha inawekwa mezani na ugali bila kiungo! Mmmhh!! Lakini yote ni uamuzi.