Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Eti kwa pamoja leo tudiscus hii kitu, hivi nyie wadada sijui tuwaite masistaduu au walimbwende nauli ya kutoka buza hadi buguruni rozana ni sh.400 tu ila sasa kila uchwao mkiitwaga maghetoni utasikia nitumie nauli.
Ebu mtuambie leo kwanini huwa mnakosaga nauli pindi mnapoitwa maghetoni, ni kweli mnakuwaga hamna nauli au, yaani mkianzaga kuitwa tu basi hivo vichenji navyo vinapotea au inakuwaje kwenye hilo, naomba mtujuze
Ebu mtuambie leo kwanini huwa mnakosaga nauli pindi mnapoitwa maghetoni, ni kweli mnakuwaga hamna nauli au, yaani mkianzaga kuitwa tu basi hivo vichenji navyo vinapotea au inakuwaje kwenye hilo, naomba mtujuze