Wachina

Wachina

itula

Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
19
Reaction score
10
Wachina hapa tanzania wameenea kila mkoa na kila wilaya!!! Waanze kuwekeza katika madhehebu ya dini ( ukiristo/ uisilam)
 
Wachina hapa tanzania wameenea kila mkoa na kila wilaya!!! Waanze kuwekeza katika madhehebu ya dini ( ukiristo/ uisilam)
Kwa nn unataka wawekeze kwenye dini badala ya viwanda?
 
Wachina hapa tanzania wameenea kila mkoa na kila wilaya!!! Waanze kuwekeza katika madhehebu ya dini ( ukiristo/ uisilam)
Wangewekeza kwenye kuzalisha watoto anakotaka Mheshimiwa Raisi, ila tatizo la mtoto wa kichina hadumu, kama vitu vyao tu
 
Wachina hapa tanzania wameenea kila mkoa na kila wilaya!!! Waanze kuwekeza katika madhehebu ya dini ( ukiristo/ uisilam)
Vipi, dini iko kwenye dira ya maendeleo yetu!
 
Hawa watu ni Hatari Sana wamekwisha teka uchumi WA TZ pia mashine zao za kamari kila kona na hasa baada ya kugundua udhaifu wa wa TZ kwenye michezezo ya kubahatisha!
 
hivi na sie tulituma mtu china kupanga foleni kupokea zawadi
 
Back
Top Bottom