Wachina na biashara ya kamari

Wachina na biashara ya kamari

mAgaziJuTO.

Senior Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
119
Reaction score
37
Heshima kwenu wakuu.

hapa Tunduma wachina wameweka mashine za kamari kila kona ya mji.

Vijana wanabashiri tangu asubuhi hadi usiku.

Je, hili jambo halina athari kwa jamii yetu?

Hizi mashine wanazinunua hapa nchini au wamekuja nazo toka kwao?
 
Ndio maana tunasema nchi inahitaji rais mwenye damu ya kidikteta tu, hatutaki mwanasiasa kabisa tunataka mtendaji sio mkaa ofisini
 
Kuna watu wakiona wenzao wanabet roho zinawauma kweli!!mlitaka waende kwenye kahawa?sababu hakuna mtu mwenye ajira yake ambae anakaa kubashiri siku nzima.hao ndio wamepata kazi hapo waacheni mfanye yenu.
Ngoja msimu urudi nikaweke nikanunue mbao na kupiga bati nihamie nyumba yangu niliopata kwa kubashiri.
 
Kuna siku nilizungumzia hili wakaja watu wakasema hizo mashine zinalipiwa kodi kwa hiyo nchi inajiingizia kipato lkn hatujali hao wanaoumi ku bet kila niku kipato cha ni kidogo na bado wanatafuta maisha nafiki athari iangaliwe zaidi kwa wazawa watajikwamua vipi kimaisha haya mambo ya kuangalia kodi ninalipwa bila kujua watu ni tatizo
 
Back
Top Bottom