Mnachihanguuu JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 4,996 Reaction score 7,366 Aug 17, 2025 #41 Nina mpango nichimbe kisima newala mkoani mtwara ila sasa nikifikiria kuwa je survey ikitoa majibu kuwa ni mita 250 si itakuwa mtihani?
Nina mpango nichimbe kisima newala mkoani mtwara ila sasa nikifikiria kuwa je survey ikitoa majibu kuwa ni mita 250 si itakuwa mtihani?
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 23,284 Reaction score 28,442 Aug 17, 2025 #42 wachimbajivisimavirefu said: Dar mkuu kuna visima vya mita 30-140 ina inategemea na sehemu ulipo l eneo lako lipo wapi mkuu ? Click to expand... Dar visima vimesaidia vyoo na karo kutokujaa haraka kama zamani, siku hizi hawapo wapakuwa vyoo kwani maji yote yanakwenda kwenye visima.
wachimbajivisimavirefu said: Dar mkuu kuna visima vya mita 30-140 ina inategemea na sehemu ulipo l eneo lako lipo wapi mkuu ? Click to expand... Dar visima vimesaidia vyoo na karo kutokujaa haraka kama zamani, siku hizi hawapo wapakuwa vyoo kwani maji yote yanakwenda kwenye visima.
visima_0678955834 New Member Joined Aug 13, 2025 Posts 2 Reaction score 0 Aug 19, 2025 #43 IInategemea na mkoa gaspersoftware65 said: 1.Hivi mud rotary kwa mkoani aiwezekani 2. Mkoa kama iringa mud rotary Click to expand... Mkuu
IInategemea na mkoa gaspersoftware65 said: 1.Hivi mud rotary kwa mkoani aiwezekani 2. Mkoa kama iringa mud rotary Click to expand... Mkuu
Kanali_ JF-Expert Member Joined Nov 18, 2018 Posts 7,507 Reaction score 11,740 Aug 19, 2025 #44 Kennedy said: Mita Tshs 50000/= pia Ikiwa Kuna Mwamba Bomba Haziwekwi Mpaka Chini Gharama Zote Mpaka Maji Yanatoka Sasa Mwaka Wa 3 Majira Yote Ilikuwa Millions 5 Click to expand... Ni connect na waliokuchimbia mkuu
Kennedy said: Mita Tshs 50000/= pia Ikiwa Kuna Mwamba Bomba Haziwekwi Mpaka Chini Gharama Zote Mpaka Maji Yanatoka Sasa Mwaka Wa 3 Majira Yote Ilikuwa Millions 5 Click to expand... Ni connect na waliokuchimbia mkuu
gaspersoftware65 Member Joined Aug 6, 2014 Posts 47 Reaction score 23 Aug 20, 2025 #45 visima_0678955834 said: IInategemea na mkoa Mkuu Click to expand... Naam