Safi sana.
Ungeainisha gharama zote Mkuu.
Naona hapo umeweka gharama ya survey na kuchimba tu kwa mita.
Au inajumuisha na gharama za installation ya pump na mabomba pia?
Safi sana.
Ungeainisha gharama zote Mkuu.
Naona hapo umeweka gharama ya survey na kuchimba tu kwa mita.
Au inajumuisha na gharama za installation ya pump na mabomba pia?
Kwa uzoefu wenu wa kazi maeneo ya Mbezi, Malamba, Segerea, Tabata, Kimara na marneo ya jirani na hayo kwa wastani huwa mnachimba mita ngapi ili kupata maji ya uhakika?
Safi sana.
Ungeainisha gharama zote Mkuu.
Naona hapo umeweka gharama ya survey na kuchimba tu kwa mita.
Au inajumuisha na gharama za installation ya pump na mabomba pia?
Kwa uzoefu wenu wa kazi maeneo ya Mbezi, Malamba, Segerea, Tabata, Kimara na marneo ya jirani na hayo kwa wastani huwa mnachimba mita ngapi ili kupata maji ya uhakika?
mkuu kwahiyo DDCA mita moja wanavyochaji 300,000 na wao madalali ? visima vina gharama mkuu PVC ya inch 5 ukiwa mkoani mpaka ifike site ni 75,000 sasa hamuoni hizo gharama ni za kawaida tatizo ni umasikini tu hizo bei ni kawaida nenda kaulize survey sh ngapi pale ubongo maji si utazimia mkuu au angalia bei za uchimbaji kwenye tovuti zao utakuja nishukuru
mkuu kwahiyo DDCA mita moja wanavyochaji 300,000 na wao madalali ? visima vina gharama mkuu PVC ya inch 5 ukiwa mkoani mpaka ifike site ni 75,000 sasa hamuoni hizo gharama ni za kawaida tatizo ni umasikini tu hizo bei ni kawaida nenda kaulize survey sh ngapi pale ubongo maji si utazimia mkuu au angalia bei za uchimbaji kwenye tovuti zao utakuja nishukuru
130*250000=32,50000 duh nimepiga kwa mita 130 kwa eneo la pwani kuchimba ndo bei iyo mh ww kweli ni dalali siyo kwa pesa iyo maana pesa ya kuchimba kisima inapita mpaka thamani ya nyumba