Wachimba visima kwa mikono

Kibatari

Member
Joined
Feb 4, 2008
Posts
16
Reaction score
3
Habari wana JF!
Nahitaji huduma ya kuchimbiwa kisima kwa mikono maeneo jirani na Mkuranga kwa umwagiliaji mdogo wa bustani. Kwa mtu anayefahamu wajasirimali wanaojihusisha na hili,tafadhali,naomba contacts zao.
Natanguliza shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…