Hilo gazeti ni la lini ?Mwezi wa tatu unakimbia huuuu khaaa leo tarehe 2??
Angalia wachezaj wa Man United ndo utapata jibuHilo gazeti ni la lini ?
siyo pichaduka ni kweli ilitokea kama sikosei mwaka 1999. Huyo mchezaji alikuwa anaitwa karume....... ubini nauficha maana ilikanushwa kwamba mwandishi hakuwa na taarifa sahihi bali alikusudia kumchafuaPicha duka