Wachezaji wa Kitanzania wanatakiwa kuwa na viongozi wao?

SPECIAL TMN

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
1,111
803
Hii desturi ya wachezaji kuwa na wasimamizi tangu wakiwa wadogo ianze maana wanakuwa wanazinguliwa sana kwenye suala la mikataba, mchezaji anaachwa tu mwishoni mwa msimu hana hata timu ya kwenda kucheza.
 
Back
Top Bottom