SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 803
Hii desturi ya wachezaji kuwa na wasimamizi tangu wakiwa wadogo ianze maana wanakuwa wanazinguliwa sana kwenye suala la mikataba, mchezaji anaachwa tu mwishoni mwa msimu hana hata timu ya kwenda kucheza.