Wachawi wanapata faida gani?

Wachawi wanapata faida gani?

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Huwa najiuliza sana, wachawi wanapata faida gani kusumbua watu wengine kwa kuwaloga na hata kuwaua, maana ukiangalia watu wengi wanaotajwa kuwa wachawi iwe mjini ama kijijini maisha yao ni ya kimaskini tu tena ukienda vijiji vilivyokubuhu kwa uchawi ndo mafukara wa kutupwa.
 
Wachawi kweli ni watoto wa Shetani. yaani wameniloga mimi na nyumba yangu yote tunahara kama bata. tumezunguka hospital mpaka tumechoka. Tumeamua kuweka kambi kwa tabibu mkuu yaani Yesu mnazarethi mwana wa Mungu aliye hai.
 
Wachawi kweli ni watoto wa Shetani. yaani wameniloga mimi na nyumba yangu yote tunahara kama bata. tumezunguka hospital mpaka tumechoka. Tumeamua kuweka kambi kwa tabibu mkuu yaani Yesu mnazarethi mwana wa Mungu aliye hai.
mkuu umesema jambo la msingi sana, mimi pia shagundua ukitaka uongeze vita ya mchawi jaribu kupambana nae kwa kinga za waganga, yaani hapo mtapigana vita kama vita ya dunia maana ataenda kuwaalika magwiji, ila dawa pekee ya mchawi ni yesu, hata aje na nini anakwama
 
mkuu umesema jambo la msingi sana, mimi pia shagundua ukitaka uongeze vita ya mchawi jaribu kupambana nae kwa kinga za waganga, yaani hapo mtapigana vita kama vita ya dunia maana ataenda kuwaalika magwiji, ila dawa pekee ya mchawi ni yesu, hata aje na nini anakwama
YESU ni bwana wa vita jamani maana waganga ni pacha na wachawi
 
Back
Top Bottom