Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Wachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)zaidi ya 50 Kutokana Kata ya Minepa Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, wametishia kurudisha kadi endapo jina la Mtia nia Udiwani aliyeingoza kwenye kura za maoni alitorudishwa.
Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya CCM Mkoa Morogoro, Wanachama hao wamesema wameamua kusafiri kutoka katika Kata hiyo hadi Ofisini hapo ili kupata majibu kwanini Mtia nia aliyeshinda hajapewa barua ya utambulisho badala yake amepewa mshindi wa nafasi ya pili.
Kwa upande wake Mtia nia aliyeshinda nafasi ya kwanza kura za maoni Bw. Marugu Manosu anasema alipofatilia katika ngazi mbalimbali za Chama amejibiwa kuwa bado jambo linafanyiwa kazi lakini hajui hadi lini.
Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya CCM Mkoa Morogoro, Wanachama hao wamesema wameamua kusafiri kutoka katika Kata hiyo hadi Ofisini hapo ili kupata majibu kwanini Mtia nia aliyeshinda hajapewa barua ya utambulisho badala yake amepewa mshindi wa nafasi ya pili.
Kwa upande wake Mtia nia aliyeshinda nafasi ya kwanza kura za maoni Bw. Marugu Manosu anasema alipofatilia katika ngazi mbalimbali za Chama amejibiwa kuwa bado jambo linafanyiwa kazi lakini hajui hadi lini.