Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,888
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?
Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.
Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.
Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?