Asa aibu iko wapi mbona hizi dini zimekuja juzi tu na saivi kuna hadi maaskofu mashoga sasa unashangaa nn kutambika wanaoliwa tigo huoni tatizo
Kumbe jf kina wachaga wengi sana!!
mbona unashupalia vitu visivyoelewekakwenye marudio ya taarifa ya habari nitarecord iyo eneo la clip na nitaliweka youtube na kukopy hapa ili ubishane na kivuli chako.
wachaga inaonyesha wanakubalika sana humu JF kila thread ni wachaga tuu sisi tunawafurahi sana kujadiliwa kwa sababu tunakubaliki sana.
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.
milioni 44
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha
Kakojoe ukalale!
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha
wewe wendawazimu umeolewa na wachagga .
masihara hayo mkuu ina maana sisi wengine ni kama hatupo
Hii inaonyesha ni jinsi gan Wachaga ni washirikina, mtu anaeamini dini ya kweli na imani ya Mungu hawezi kwenda kula visusio, kwanza ni najisi. Ndio, ni uchafu na biblia imesema pia. Kitu cha ajabu ni kujifanya watu wa dini kumbe hamna kitu.
Acheni ushirikina
watanzania tupo million 45 wachaga 44 milion 10 ndo kabila wengine
mchaga gani usiyejua hesabu za kujumlisha?