mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Heshma kwenu woote na Merry xmass to u
Nimekaa mahali na makabila mchanganyiko tunapata mambo yetu yalee...
Tuna wachaga pia hapa wakiwemo wa Uru
Huyu mchaga wa Uru imemuwia vigumu sana kutaja kule anapotoka I mean Uru..na sio mara ya kwanza..ilishatokea tena kwa wchaga wengine wa hukohuko huru kulitaja ilo eneo..ninalazimika kuuliza ni kwa nnwachaga wa Uru mnaogopa kujitaja mnapotokea!!?
Au ni sababu ya kihistoria ya ile sanamu pale YMCA?plz have confidence jamani...be proud of urplace of origin...nawakilisha
Nimekaa mahali na makabila mchanganyiko tunapata mambo yetu yalee...
Tuna wachaga pia hapa wakiwemo wa Uru
Huyu mchaga wa Uru imemuwia vigumu sana kutaja kule anapotoka I mean Uru..na sio mara ya kwanza..ilishatokea tena kwa wchaga wengine wa hukohuko huru kulitaja ilo eneo..ninalazimika kuuliza ni kwa nnwachaga wa Uru mnaogopa kujitaja mnapotokea!!?
Au ni sababu ya kihistoria ya ile sanamu pale YMCA?plz have confidence jamani...be proud of urplace of origin...nawakilisha