Kuna jamaa yangu anafanya utafiti wa mambo ya watoto mitaani katika miji mikubwa ya Dar, Moshi, Arusha na Mwanza na mpaka sasa ka utafiti kake kanaonesha watoto wengi wa mitaani bongo (over 50%) wanatoka kwa shemeji zako?? Je hii ndio sababu???
Kama ndivyo nakuunga mkono hoja!!!!!!!!!