mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,444
Wandugu,wakati wa uchaguzi wa Igunga,tulisikia kuwa aliyekuwa mbunge wa hilo jimbo hakuwa na hata nyumba huko na wala alikuwa haishi jimboni mwake,naamini si yeye peke yake,mbali ya wabunge ambao ni mawaziri au wakuu wa mikoa ambao imebidi wakae mbali na majimbo yao(vituo vya kazi)naomba tuorodhesha majina yao hapa kuwakumbusha wajibu wao kuwa wanatakiwa wawe majimboni mwao na si Dar ambako wamefanya makazi yao ,naamini humu JF wamo ,na pia naamini kwa kuwaorodhesha hapa tutakuwa tumewakumbusha wajibu wao kwa wanachi waliowachagua na si vyama vilivyowateua ,nawakilisha