johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Huu ni ushauri tu kwani maendeleo hayana chama.
Nipo hapa miyomboni katika manispaa ya Iringa na nilichoshuhudia ni kwamba elimu ya kitambulisho cha mjasiriamali haijaeleweka kabisa hapa.
Na inawezekana Kasesela na Happi bado hawajawaelewa vilivyo wakazi wa mkoa huu, yaani wanawaelewa kiofisi zaidi kuliko kimtaa.
Niwashauri tu viongozi hawa wamshirikishe mbunge na madiwani katika zoezi hili vinginevyo sitashangaa yakiwakuta yale ya Makalla wa katavi.
Navalonge swela
Maendeleo hayana vyama!
Nipo hapa miyomboni katika manispaa ya Iringa na nilichoshuhudia ni kwamba elimu ya kitambulisho cha mjasiriamali haijaeleweka kabisa hapa.
Na inawezekana Kasesela na Happi bado hawajawaelewa vilivyo wakazi wa mkoa huu, yaani wanawaelewa kiofisi zaidi kuliko kimtaa.
Niwashauri tu viongozi hawa wamshirikishe mbunge na madiwani katika zoezi hili vinginevyo sitashangaa yakiwakuta yale ya Makalla wa katavi.
Navalonge swela
Maendeleo hayana vyama!