Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
yaaaa.ni kweli
Tundu Lisu Alimwambia Kigwangala ......"Huyu alienda kuanzisha maandamano kwenda kwenye mgodi wa madini akiamini kuwa mwekezaji anawanyonya wanakijiji, Sasa hivi anatuambia nini huyu".
Lisu bana!!! kile ni Kisu hatari sana!
mimi hadi sasa hivi najiulizaKitu kilichoniondoa stimu katika kikao hicho ni pale Mibunge ya CCM ilipokuwa inakubali kupitishwa kwa vifungu ambavyo hata hiyo yenyewe haikuwa ikiridhika toka moyoni. Kwa mfano pale Simbachawene alipounga mkono hoja ya Mnyika kisha katika kupiga kura akawa upande wa serikali. Kama hiyo haitoshi eti Waziri Mdogo, Nyarandu anatetea hoja kwa vile tu Uganda na Kenya ipo hivyo hivyo kwa hiyo sisi hatuwezi kuibadilisha huku kwetu! Sasa kama wanaona kwamba kitu kilichokubaliwa na Uganda na Kenya ndicho kinachotakiwa kiwe, kwanini wanakuja kukijadili bungeni! Au wameamua tu kupoteza pesa za walipa kodi kwa kukaa bungeni na kujadili kitu ambacho lazima kipite kama kilivyo!
Swali lingine nalojiuliza je kuna kifaa gani kimefungwa masikioni mwa Bi Kiroboto ambacho kinamwezesha kupima wingi wa sauti za Wabunge ili kujua waliosema ndio ni wengi kuliko waliosema Sio!
... Bi Kiroboto
Nadhani huyu ni Bi Mkora.Kitu kilichoniondoa stimu katika kikao hicho ni pale Mibunge ya CCM ilipokuwa inakubali kupitishwa kwa vifungu ambavyo hata hiyo yenyewe haikuwa ikiridhika toka moyoni. Kwa mfano pale Simbachawene alipounga mkono hoja ya Mnyika kisha katika kupiga kura akawa upande wa serikali. Kama hiyo haitoshi eti Waziri Mdogo, Nyarandu anatetea hoja kwa vile tu Uganda na Kenya ipo hivyo hivyo kwa hiyo sisi hatuwezi kuibadilisha huku kwetu! Sasa kama wanaona kwamba kitu kilichokubaliwa na Uganda na Kenya ndicho kinachotakiwa kiwe, kwanini wanakuja kukijadili bungeni! Au wameamua tu kupoteza pesa za walipa kodi kwa kukaa bungeni na kujadili kitu ambacho lazima kipite kama kilivyo!
Swali lingine nalojiuliza je kuna kifaa gani kimefungwa masikioni mwa Bi Kiroboto ambacho kinamwezesha kupima wingi wa sauti za Wabunge ili kujua waliosema ndio ni wengi kuliko waliosema Sio!
si bora vya mchanga vilaini? Ni kokoto, tena zile nyeusikaka viroba vya mchanga vipo vingi tu ambavyo taifa limevibeba.
bi nyalandu lazima atetee kenya,weye mchunguze same na mbunge mvaa heren kenya huyo so rizik hata jk anafahamu hilo ndo mana alisema wataka kula bila kuliwa.fanya uchunzSio Kigwangala tu. Vituko na vioja zaidi alivionyesha AG hadi Zitto alipomrudishia akili kidogo. NW wa Biashara, Nyalandu, naye alikuwa kituko cha aina yake pale alipokuwa akinukuu matamshi ya kejeli ya Jomo Kenyatta kwa Mwalimu. Nyalandu akawa anatetea wawekezaji kwenye EPZ na SEZ kama mjinga flani hivi.
Huyu Spika wa kubumba ni mkora sana. Yaani yeye yuko tayari kuilinda CCM na serikali yake kwa gharama yoyote ile. Watanzania tunaona sana tu.Hilo la bi mkora ndilo linalomfaa zaid
Ah! Kaoa mrembo flani hivi miaka ya karibuni.bi nyalandu lazima atetee kenya,weye mchunguze same na mbunge mvaa heren kenya huyo so rizik hata jk anafahamu hilo ndo mana alisema wataka kula bila kuliwa.fanya uchunz
Iburuzeni CCM ndio iliyowabambikia huyu Kigwangala nanyi mkampa kura. Mzee Seleli yuko wapi? Akina Sitta, Mwakyembe wamemsahau kabisa!Kwa hili sina la kusema, historia inatuhukumu sisi watu wa nzega,wana JF naombeni msaada wa kisheria ili nimburuze mahakamani huyu mbunge kabla ya 2015.Ili anyang'anywe chicho cheti cha udaktari
alishasahau kama aliandamana na watu wake........wabunge wengi wa ccm ni mzigo
Sio Kigwangala tu. Vituko na vioja zaidi alivionyesha AG hadi Zitto alipomrudishia akili kidogo. NW wa Biashara, Nyalandu, naye alikuwa kituko cha aina yake pale alipokuwa akinukuu matamshi ya kejeli ya Jomo Kenyatta kwa Mwalimu. Nyalandu akawa anatetea wawekezaji kwenye EPZ na SEZ kama mjinga flani hivi.
Ah! Kaoa mrembo flani hivi miaka ya karibuni.
si bora vya mchanga vilaini? Ni kokoto, tena zile nyeusi