Mie naamini kwamba kuwa kiongozi ni lazima unakuwa kioo cha jamii na hivyo watu watategemea kuwa utakuwa mfano wa kuigwa. Pia ikumbukwe kwamba kila vazi au uvaaji una sehemu zake. Mbunge kuvaa chain mguuni I don't think it is proper. Tutawakanyaje mabinti zetu wakivaa vikuku kuelekea nursery school?
Alitimuliwa Bungeni na Spika....
Hata huyu ni mbunge na alitinga kwenye kikao na hereni kwenye masikio
Ulishenda darasani umevaa chupi kisa eti unaenda kusoma wasiangalie umivaaje.... achezi kushabikia upuuzi!! ka ni vikuku wavae manyanga ya kuchezea madogoli tujue basi ni watamaduni!!Jamani sioni tatizo la vikuku tunachotaka ni je? wanafanyaje kazi? wanawake tumeambiwa tujipambe, hata kwenye biblia vikuku vinaruhusiwa watu wa biblia zamani walivaa, nimesahau mstari nikikumbuka nitawaletea.
Alitimuliwa Bungeni na Spika....
Jamani sioni tatizo la vikuku tunachotaka ni je? wanafanyaje kazi? wanawake tumeambiwa tujipambe, hata kwenye biblia vikuku vinaruhusiwa watu wa biblia zamani walivaa, nimesahau mstari nikikumbuka nitawaletea.
Hata huyu ni mbunge na alitinga kwenye kikao na hereni kwenye masikio
FL1, I concur with uHivyo vikuku wao wavae hata kumi kumi ..ni haki yao wapendeze vile wanavyojisikia
Tunachotaka tuone perfomance yao katika kazi tulizowatuma mjengoni
Sioni tatizo kwa hizo shanga za miguu. Ni utamaduni wa kimasai uluoboreshwa tu
Who are these cuties!.
Jamani sioni tatizo la vikuku tunachotaka ni je? wanafanyaje kazi? wanawake tumeambiwa tujipambe, hata kwenye biblia vikuku vinaruhusiwa watu wa biblia zamani walivaa, nimesahau mstari nikikumbuka nitawaletea.