Wabunge kupoteza viti vyao

Wabunge kupoteza viti vyao

Godlove jn

Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
14
Reaction score
0
Kuna dalili za kutosha kwa wabunge wengi especially ccm kupoteza nafasi zao kama kutakuwa na uchaguzi mdogo tena ama uchaguzi mkuu wa 2015 na hii nikutokana na makosa mengi ambayo ccm imekuwa ikifanya na wabunge wengi wanajua lakin hawataki kubadilika.

Kama jimbo la Mtera njia nyeupe as if lipo wazi!
 
Kuna dalili za kutosha kwa wabunge wengi especially ccm kupoteza nafasi zao kama kutakuwa na uchaguzi mdogo tena ama uchaguzi mkuu wa 2015 na hii nikutokana na makosa mengi ambayo ccm imekuwa ikifanya na wabunge wengi wanajua lakin hawataki kubadilika.... Kama jimbo la mtera njia nyeupe as if lipo wazi!
Hii post mbona haipo sehemu husika?
 
Back
Top Bottom