Kama ni kuadhirika kimaisha sio SA tu hata ulaya wapo watanzania wanaadhirika kweli kweli. Juzi juzi nilikuwa London,jamaa moja aliingia kwenye Mgahawa, akaangaza angaza macho, alipotuona na kutusikia tukiongea kiswahili wakati tunakula (tulikuwa waTZ 2 na Mkenya moja) akaja kutuomba chakula. Ukweli sikuamini macho na masikio yangu, lakini huo ndio ukweli uliotokea.Baada ya kumdadisi anatoka wapi hapa TZ akatueleza kwamba anatoka DSM sehemu za Ubungo Msewe
Asante sana,kweli wamenishangazaa sana.yaani nimeshindwa mijitu hii haina akili.tangu lini kuandika/kusema ukweli imekua ni udaku.basi tusisema chochote maana kila kinachoandikwa ni udaku.eti mwingine anauliza kama wale jamaa niliwauliza passport zao ili kudhibitisha kama kweli ni wabongo,ujinga mwiigine nakwambia ni wa kuzaliwa.
Kuna wale very open minded ,but few like that snitch Askari Kanzu and abdullahim
got some serious problem.
To abdulahim
it seems the issue of prostitution touched one of you very sensitive nerve.now that you have mentioned you have siblings in kenya it makes me wonder,you are a tanzanian but you have siblings in kenya,how come?do you have siblings in uganda too? if you do, then you have proof my point.you dont need any stats.
Sijakataa, ila talking about business my friend yes i run a business and for you info i have employed Kenyans and Tanzanians as well so if you think kwamba chances za wewe kuanzisha biashara yako itanawiri kuliko ya kwangu you are late because i am already there and funny enough of you to think of Chumaulete pole sana dont have an idiotic mindNdugu yangu finest, hakuna mtu anatrust waKenya, hata ukienda States leo, uulize kwenye African communities watu gani hawaaminiwi, ni waKenya na wa Nigeria, hata hapa nyumbani sisi wenyewe hatuaminiani.. cha kushangaza ni kuwa bishara zetu zimenawiri sana huko ambako hatuaminiwi, nadhani nyie mnafocus sana na side shows hadi mnapoteza ramani ya target yenyu. Mwanabiashara mkenya ni tofauti sana na mfanyibiashara wa Kibongo, jiulize kwa nini? leo tukianzisha biashara mimi na wewe chances ziko high biashara yangu itanawiri kuliko yako, unless utumie chumaulete.
Haujaielewa post yangu rudia kuisoma tenaTatizo leni bado hamkubali ukweli... soma link hio
Swahili Time: Maisha ya WaBongo Marekani
Asante sana,kweli wamenishangazaa sana.yaani nimeshindwa mijitu hii haina akili.tangu lini kuandika/kusema ukweli imekua ni udaku.basi tusisema chochote maana kila kinachoandikwa ni udaku.eti mwingine anauliza kama wale jamaa niliwauliza passport zao ili kudhibitisha kama kweli ni wabongo,ujinga mwiigine nakwambia ni wa kuzaliwa.
Kuna wale very open minded ,but few like that snitch Askari Kanzu and abdullahim
got some serious problem.
To abdulahim
it seems the issue of prostitution touched one of you very sensitive nerve.now that you have mentioned you have siblings in kenya it makes me wonder,you are a tanzanian but you have siblings in kenya,how come?do you have siblings in uganda too? if you do, then you have proof my point.you dont need any stats.
What a joke, you just sound like an Entymologisti dont know about that,i was in SA for few days.
tena i came to realize few of you think to go to south africa is one hell of a big deal.come on ,its in africa and its not like you crossing the sea or such
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.
Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.
vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.
Another question is why you Kenyans cant be trusted???Ndugu yangu finest, hakuna mtu anatrust waKenya, hata ukienda States leo, uulize kwenye African communities watu gani hawaaminiwi, ni waKenya na wa Nigeria, hata hapa nyumbani sisi wenyewe hatuaminiani.. cha kushangaza ni kuwa bishara zetu zimenawiri sana huko ambako hatuaminiwi, nadhani nyie mnafocus sana na side shows hadi mnapoteza ramani ya target yenyu. Mwanabiashara mkenya ni tofauti sana na mfanyibiashara wa Kibongo, jiulize kwa nini? leo tukianzisha biashara mimi na wewe chances ziko high biashara yangu itanawiri kuliko yako, unless utumie chumaulete.
MITANZANIA ni idiot kabisa...mleta hoja kasema alioyaona ila kw aumbumbu wenu mnaanza kumshambulia kwa vijembe na bezo za kutaka kukataa ukweli....
nani asiejua ukweli wa maisha ya vijana wa kibongo SA? USA na majuu kwote??
yeye kama kawaona wabongo bandarini ni vema na haki mlitaka aseme kawaona na wagambia au wakenya? ndio maana mnadharaulika....
TATIZO LENU MITANZANIA hamtaki kuambiwa ukweli ujingab wenu ndio maana mpo hapo mlipo na kwa ubishi wenu kujifanya mnajua mtabaki hapo hapo na mnajiburuza wenzenu wanapaa....mmeniudhi
Jamani si kusema kwa ubaya.nisharudi zangu kenya.
kitu chengine umalaya upo kila mahali,hata hapa kenya malaya wengi ni wabongo na waganda. lakini issue hapa ni hao mabaharia kama vile mwingine amesema.hili ni soma tosha tusije takakimbila ugenini kumbe maisha huko ni mabovu.
wewe nawe mbwiga sijui? thread ni kuhusu watz wanavyotaabika SA not wakenya hapaAnother question is why you Kenyans cant be trusted???
Prostituion imenitouch kwa sababu nimekuuliza data na umeshindwa kuleta? lol..what a douche.
Achana na familia yangu na wala usitake kunijulia undani wangu, kama unatafuta bwana we ni-PM tutarekebisha juu kwa juu.
Kwa kweli si Waafrika tu ndiyo wanaoganga njaa Ulaya........ huku nakutana nao wachina....wahindi .....wapakistan..... watu toka south amerika.....west africa ndiyo usiseme (ni wengi mno)........
Lakini kwa mimi, naona kwa wabongo kujilipua ni by choice is not by chance......maana bongo kuna fursa nyingi sana.....kuna mashamba mengi.....ukienda sumbawanga ardhi ipo....ukienda kilomero moro ndiyo usiseme......
Na vijana hajui tu maisha ya ulaya......ni magumu kupindukia.....bora ukae bongo unaweza kufanya kitu cha maana, lakini siyo majuu.....
Wewe nawe sijui mdwanzi?? Unapo-quote post yangu uwe unaelewa nilimaanisha nini wakati namuuliza huyo mtu hilo swaliwewe nawe mbwiga sijui? thread ni kuhusu watz wanavyotaabika SA not wakenya hapa
dude dont be a clown,show me any NGO or government that have collected data of how many prostitute they have in their country.you are really a joke.
Sijakataa, ila talking about business my friend yes i run a business and for you info i have employed Kenyans and Tanzanians as well so if you think kwamba chances za wewe kuanzisha biashara yako itanawiri kuliko ya kwangu you are late because i am already there and funny enough of you to think of Chumaulete pole sana dont have an idiotic mind
NOTE: If you want to start a business come to me i will give you some piece of advice
Unaishi pango gani?
Mbona kuna nchi kibao tu kila malaya anarekodiwa na kulipishwa kodi? kumbe naongea na jitu zumbukuku kabisa hapa..sasa kama huko kwenu Kibera hakuna takwimu za malaya, unapata wapi audacity ya kusema malaya wengi huko Kenya ni watz na waganda?..i have been repeating the same argument over and iover lakini una kichwa kigumu kama jiwe, sasa i understand why.