Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,099
- 2,403
Idadi kubwa ya waandamaji zaidi ya 100,000 walijitokeza mjini Berlin wakipinga vita vya Gaza ,waandamanaji hao waliipa jina Together for Gaza
Waandamanaji mashinikizo yao kwa serikali ni pamoja na ;
-Amani Gaza ipatikane
-Haki za binadamu lazima zilindwe
-Serikali ya Ujerumani iache kutoa misaada ya silaha kwa Israel ambao unapelekea raia kufa
Serikali ya Ujerumani iko kwenye mkanganyiko kwasababu Historia yake inailazimisha kuiunga mkono Israel lakini presha ya raia na vyama vya siasa inaongezeka kuwa kubwa
Wakati huo huo, mashirika ya haki za binadamu yamekosoa polisi wa Ujerumani kwa kuzuia na kupiga marufuku maandamano, na kwa kutumia nguvu isiyo ya lazima dhidi ya waandamanaji
Gaza sio suala la Mashariki ya Kati pekee wala imani fulani Ni suala la ubinadamu hauutaji kuwa na upande kukemea maovu
Ndio kinachofanyika hivi karibuni ulaya na Amerca Maelfu ya Waandamanaji wanaonyesha kwamba sauti ya raia inaweza kusimama juu ya siasa
==============
More than 100,000 people rallied in Berlin, protesting against German support for Israel’s genocide in the Gaza Strip
Demonstrators marched from Berlin’s City Hall to the Grosser Stern on Saturday, following a call from a broad coalition of some 50 groups, including pro-Palestinian organisations, Medico International, Amnesty International, and the opposition Left Party, for a large demonstration
Organisers of the All Eyes on Gaza – Stop the Genocide rally demanded “an end to German complicity” in Israel’s genocidal war in the Palestinian enclave
They also called for “an end to all military cooperation with Israel. This includes the import, export, and transit of weapons, ammunition, and other military equipment.”
“The actions of the Israeli government have long been described as genocide by experts and international organisations, and the International Court of Justice is investigating them as such. While it is clear that the Israeli military is committing mass atrocities in Gaza, the German government continues to deny the systematic violence,” organisers said in a statement
The crowd chanted “Free, free Palestine” and “Viva Palestine”, holding up posters reading “Stop the genocide in Gaza”, “Never again for all”, and “Freedom for Palestine”. Many protesters also waved Palestinian flags.
They called for an immediate halt to German arms exports to Israel, for humanitarian aid access to Gaza, and for European Union sanctions against Israel
A new survey released on Tuesday showed that 62 percent of German voters believe Israeli actions in Gaza constitute genocide, putting mounting pressure on the centre-right government to reassess its stance towards Israel
The representative poll, conducted by YouGov, indicated that this sentiment crosses political lines, with 60 percent of voters from Merz’s conservative CDU/CSU bloc viewing Israel’s military campaign as genocide against Palestinians. Among voters of the coalition partner Social Democratic Party (SPD), the figure was higher at 71 percent
While Chancellor Merz and Foreign Minister Johann Wadephul have recently sharpened their criticism of Israel’s military offensive and blockade of humanitarian aid to Gaza, they have so far avoided using the term genocide, referring instead to the “disproportionate” use of force by the Israeli military. Nor have they decided to recognise the State of Palestine, as many other nations have in recent days, including France, the United Kingdom, Australia, and Canada
Source: Aljazeera
Waandamanaji mashinikizo yao kwa serikali ni pamoja na ;
-Amani Gaza ipatikane
-Haki za binadamu lazima zilindwe
-Serikali ya Ujerumani iache kutoa misaada ya silaha kwa Israel ambao unapelekea raia kufa
Serikali ya Ujerumani iko kwenye mkanganyiko kwasababu Historia yake inailazimisha kuiunga mkono Israel lakini presha ya raia na vyama vya siasa inaongezeka kuwa kubwa
Wakati huo huo, mashirika ya haki za binadamu yamekosoa polisi wa Ujerumani kwa kuzuia na kupiga marufuku maandamano, na kwa kutumia nguvu isiyo ya lazima dhidi ya waandamanaji
Gaza sio suala la Mashariki ya Kati pekee wala imani fulani Ni suala la ubinadamu hauutaji kuwa na upande kukemea maovu
Ndio kinachofanyika hivi karibuni ulaya na Amerca Maelfu ya Waandamanaji wanaonyesha kwamba sauti ya raia inaweza kusimama juu ya siasa
==============
More than 100,000 people rallied in Berlin, protesting against German support for Israel’s genocide in the Gaza Strip
Demonstrators marched from Berlin’s City Hall to the Grosser Stern on Saturday, following a call from a broad coalition of some 50 groups, including pro-Palestinian organisations, Medico International, Amnesty International, and the opposition Left Party, for a large demonstration
Organisers of the All Eyes on Gaza – Stop the Genocide rally demanded “an end to German complicity” in Israel’s genocidal war in the Palestinian enclave
They also called for “an end to all military cooperation with Israel. This includes the import, export, and transit of weapons, ammunition, and other military equipment.”
“The actions of the Israeli government have long been described as genocide by experts and international organisations, and the International Court of Justice is investigating them as such. While it is clear that the Israeli military is committing mass atrocities in Gaza, the German government continues to deny the systematic violence,” organisers said in a statement
The crowd chanted “Free, free Palestine” and “Viva Palestine”, holding up posters reading “Stop the genocide in Gaza”, “Never again for all”, and “Freedom for Palestine”. Many protesters also waved Palestinian flags.
They called for an immediate halt to German arms exports to Israel, for humanitarian aid access to Gaza, and for European Union sanctions against Israel
A new survey released on Tuesday showed that 62 percent of German voters believe Israeli actions in Gaza constitute genocide, putting mounting pressure on the centre-right government to reassess its stance towards Israel
The representative poll, conducted by YouGov, indicated that this sentiment crosses political lines, with 60 percent of voters from Merz’s conservative CDU/CSU bloc viewing Israel’s military campaign as genocide against Palestinians. Among voters of the coalition partner Social Democratic Party (SPD), the figure was higher at 71 percent
While Chancellor Merz and Foreign Minister Johann Wadephul have recently sharpened their criticism of Israel’s military offensive and blockade of humanitarian aid to Gaza, they have so far avoided using the term genocide, referring instead to the “disproportionate” use of force by the Israeli military. Nor have they decided to recognise the State of Palestine, as many other nations have in recent days, including France, the United Kingdom, Australia, and Canada
Source: Aljazeera