Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,953
- 2,431
Nanukuu
"Nimeona hivi karibuni kila mwajiriwa akijaribu kusave hela na kukopa ili kuanzisha kabiashara flani au mradi kwa lengo la kuja kuacha kazi.
Nadhani hii inasababishwa na maneno ya motivational speakers kuwa hakuna tajiri alieajiriwa bali wote wamejiajiri. Lakini biashara hizi nyingi zimekua zikifa kifo cha mende au hata ikifanikiwa basi ni faida ndogo sana.
Sasa kuna haja gani ya kuishi kwa presha na kujibana usipate hata serengeti baridi weekend kisa tu biashara uchwara. Sio kila mtu lazima awe Dewji, nashauri tuu mjenge kamjengo ka kuishi, mmiliki ka ist kakali, kujiongeza elimu kwa lengo la kupandishwa cheo na kuwekeza miradi ya muda mrefu kama mashamba ya miti ili ukistaafu uweze kujihudumia mwenyewe bila kutegemea watoto"
Mwisho wa kunukuu. Jumamosi njema.
"Nimeona hivi karibuni kila mwajiriwa akijaribu kusave hela na kukopa ili kuanzisha kabiashara flani au mradi kwa lengo la kuja kuacha kazi.
Nadhani hii inasababishwa na maneno ya motivational speakers kuwa hakuna tajiri alieajiriwa bali wote wamejiajiri. Lakini biashara hizi nyingi zimekua zikifa kifo cha mende au hata ikifanikiwa basi ni faida ndogo sana.
Sasa kuna haja gani ya kuishi kwa presha na kujibana usipate hata serengeti baridi weekend kisa tu biashara uchwara. Sio kila mtu lazima awe Dewji, nashauri tuu mjenge kamjengo ka kuishi, mmiliki ka ist kakali, kujiongeza elimu kwa lengo la kupandishwa cheo na kuwekeza miradi ya muda mrefu kama mashamba ya miti ili ukistaafu uweze kujihudumia mwenyewe bila kutegemea watoto"
Mwisho wa kunukuu. Jumamosi njema.