Mzumbe kuanzia uongozi mpaka waalimu kiukweli wapo well organized. Kwa hilo nawasifu. Hakunaga njaanjaa za hovyo. Pia Jumuiya ya Mzumbe wanajiheshimu sana. Hakuna utoto toto too much. Vyuo vingine vijifunze pale. Ila sisemi ndio serikali iwe inachelewesha pesa za wanafunzi..la hasha! Haki na stahili za wanafunzi ziwe zinapelekwa kwa wakati.