BARAKA FESTUS
Member
- Oct 8, 2014
- 6
- 0
nauliza ni vyuo vipi ni vizuri kwa kusoma diploma ya udaktari(clinical medicine)?
nauliza ni vyuo vipi ni vizuri kwa kusoma diploma ya udaktari(clinical medicine)?
sengerema,mvumi,rao health training center,machame,tandabui,karatu,suye,gisan,st.aggrey,kolandoto,KAM collage, hizo n private kama nmesahau vingine wadau changien bt kwa sasa huwezi ku apply direct mpaka usubiri mwakan kupitia CAS
Kilosa,mtwara,kibaha,lindi,tanga,mafinga cotc,vyuo hivi ni vya serikali
Biomedical engineering (BME) is the application of engineering principles and design concepts to medicine and biology for healthcare purposes (e.g. diagnostic or therapeutic).habari .eti kuna utofauti gani kati ya kozi ya radiology na biomedical engineering?
Mkuu hata neno n tofautihabari .eti kuna utofauti gani kati ya kozi ya radiology na biomedical engineering?
Mkuu kwa upepo wa tzahsant absamb ila ipi nzuri zaid kati biomedical eng na radiology?