Vyuo vya afya vya private wakuu

Ushauri dogo ana
Biology B
Chemistry C
Physics C
Ila hesabu ana F
Je anaweza pata chance kusoma diploma za afya

Kweli anaweza kupata na kitu cha muhimu ingia website ya NACTE halafu fungua icon ya GUIDEBOOK AND SELECTION hapo utapata vyuo vya serikali na Private, location... pamoja na ada zake, kuwa mwangalifu kwani kuna vingine vimefungiwa na utaviona kwenye website hiyohiyo!
 
Sawa mkuu kwan kizuri ni kip?
Kilicho sajiliwa?
 
Sawa mkuu kwan kizuri ni kip?
Kilicho sajiliwa?

Ukifungua hiyo website ya NACTE utapata taarifa zote muhimu kwa kila chuo then wewe utachagua unachopenda na kufanya maombi online au kuwaandikia chuo husika
 
Hamna kitu hapo KIU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…