Gazillionaire
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 235
- 59
Habari
gani wakuu? Natumaini mnaendelea vyema. Vifuatavyo ni vyumba na nyumba
vinavyopangishwa Kigamboni. Viko sehemu nzuri, hakujai maji, ni km 3
mpaka 4 kutoka ferry, maji na umeme vipo:
chumba na sebule, na choo chake sh150,000.
Chumba na sebule, na choo chake sh. 120,000.
Chumba single kwa sh. 30,000 kwa mwezi, unalipia miezi sita. Umeme na maji vipo.
Nyumba nzima iliyo ndani ya fence kwa sh. 300,000.
Kwa anaehitaji chochote kati ya vilivyoelezewa hapo juu, karibu PM.
gani wakuu? Natumaini mnaendelea vyema. Vifuatavyo ni vyumba na nyumba
vinavyopangishwa Kigamboni. Viko sehemu nzuri, hakujai maji, ni km 3
mpaka 4 kutoka ferry, maji na umeme vipo:
chumba na sebule, na choo chake sh150,000.
Chumba na sebule, na choo chake sh. 120,000.
Chumba single kwa sh. 30,000 kwa mwezi, unalipia miezi sita. Umeme na maji vipo.
Nyumba nzima iliyo ndani ya fence kwa sh. 300,000.
Kwa anaehitaji chochote kati ya vilivyoelezewa hapo juu, karibu PM.