naomba kuuliza. hivi vyeti vya kidato cha nne huwa vinatoka lini baada ya mtihani. kuna mdogo wangu alimaliza mwaka 2008 je sasa anaweza kupata cheti??
naomba kuuliza. hivi vyeti vya kidato cha nne huwa vinatoka lini baada ya mtihani. kuna mdogo wangu alimaliza mwaka 2008 je sasa anaweza kupata cheti??