wewe ni kibaraka wa MAGAMBA sio bure.ina maana msimamo wa CUF kuhusu kurudiwa uchaguzi zanzibar huujui???Baada ya kauli ya rais wa Zanzibar Mohamed Shein zaidi ya vyama 10 vimeshaweka msimamo wake kushiriki katika uchaguzi utakaorudiwa, CCK, CCM, JAHAZ ASILIA, ACT, NRA, TADEA nk. Ingawa vyama vya CHADEMA na CUF bado havijatoa msimamo wao mpaka sasa.
![]()
![]()
![]()
Je cuf na chadema wameshatoka tamko rasmi la ama kushiriki au kutoshiriki katika uchaguzi mpya wa marudio baada ya tarehe kutangazwa?Mleta mada wewe ni mwongo, ni kweli hujui msimamo wa CUF na CHADEMA?