Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Nazungumzia hawa wenye migahawa mikubwa kama Esha Buheti, Shishi food, Sele Bonge, kazimoto Pork, Nyumbani lounge, Sea food restaurant, na wenye restaurant kubwa hapa mjini waache utapeli wa kuonyesha chakula kizuri kina nyama lundo, samaki zaidi ya kumi, mapaja ya kuku kama saba hivi ila ukifika Sasa physically ukaagiza unaletea viwali kiduchu, nyama vinyango mbili na maharage afu unaambiwa 12000 pumbavu kabisa.
Acheni uhuni kwann vyakula mnavyolusha mitandaoni unaonyesha kingi kwenye sahani na nyama au samaki za kutosha ila tukija tunapigwa mchinjo wa maana unapewa Wali kidogo na kipande tu cha jodari fullstop.
N. B. Sina hatimiliki ya hizi picha.
Acheni uhuni kwann vyakula mnavyolusha mitandaoni unaonyesha kingi kwenye sahani na nyama au samaki za kutosha ila tukija tunapigwa mchinjo wa maana unapewa Wali kidogo na kipande tu cha jodari fullstop.
N. B. Sina hatimiliki ya hizi picha.