Car4Sale Vx Amazon mbichi iko Kwa soko

Car4Sale Vx Amazon mbichi iko Kwa soko

Sawa... Sio Chuma Chakavu anaita Chuma Mbichi anatuonaje sisi... Yani ni kama mwanamke wa 40+ na bikra hana unamuita mtoto mbichi kisa hajazaa Duh! Mahali 100M kisa anaMSHEPU Hahahaa...
Unaweza Vipi Kutolea Mfano Wa Kiumbe Hai(Mwanadamu) Na Gari? Yaani Ni Vitu Viwili Tofauti Kabisa

Ndio Maana Hadi Leo Kuna Gari Za Mwaka 1970 Hadi 80 Zinauzwa Bei Ghali Kuliko Hata Hizi Za Sasa.

Ivi Unaifahamu Carina T.I Ya Mwaka 2001 Kwa Sasa Showroom Inauzwa TSH 25m Na Usajili? Au Unajua Kwamba PREMIO Bukoba Ya Mwaka 2000 Kwa Sasa Showroom Ni TSH 26.5m Na Usajili?

Nina Mashaka Na Umri Wako Huenda Nikawa Najibizana Na Mtoto Wangu Wa Kumzaa Kitu Ambacho Sicho Kabisa
 
Unaweza Vipi Kutolea Mfano Wa Kiumbe Hai(Mwanadamu) Na Gari? Yaani Ni Vitu Viwili Tofauti Kabisa

Ndio Maana Hadi Leo Kuna Gari Za Mwaka 1970 Hadi 80 Zinauzwa Bei Ghali Kuliko Hata Hizi Za Sasa.

Ivi Unaifahamu Carina T.I Ya Mwaka 2001 Kwa Sasa Showroom Inauzwa TSH 25m Na Usajili? Au Unajua Kwamba PREMIO Bukoba Ya Mwaka 2000 Kwa Sasa Showroom Ni TSH 26.5m Na Usajili?

Nina Mashaka Na Umri Wako Huenda Nikawa Najibizana Na Mtoto Wangu Wa Kumzaa Kitu Ambacho Sicho Kabisa
We endelea kuita vyuma chakavu kua ni gari MBICHI sio?...
 
Gari yoyote liliyondeshwa ni chuma chakavu. Nenda Toyota na Mil 100 uone utapata gari ambayo sio chakavu
Hapana sio kila chuma ilo endeshwa ni chuma chakavu.... Sasa gari ina umri 20+ na Km za kutosha bado unaiita MBICHI hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom