Ilitokea ajali na kijana mmoja kugongwa na gari na kufariki.Wananchi wakaleta ghasia hadi FFU kupelekwa eneo hilo karibu na Stendi ya mabasi Ipogolo.
Mabomu ya machozi yamepigwa na dozens kusombwa na magari ya polisi.Ni usumbufu wa hali ya juu.
Ilitokea ajali na kijana mmoja kugongwa na gari na kufariki.Wananchi wakaleta ghasia hadi FFU kupelekwa eneo hilo karibu na Stendi ya mabasi Ipogolo.
Mabomu ya machozi yamepigwa na dozens kusombwa na magari ya polisi.Ni usumbufu wa hali ya juu.
ilitokea ajali na kijana mmoja kugongwa na gari na kufariki.wananchi wakaleta ghasia hadi ffu kupelekwa eneo hilo karibu na stendi ya mabasi ipogolo.
Mabomu ya machozi yamepigwa na dozens kusombwa na magari ya polisi.ni usumbufu wa hali ya juu.
Mkuu leo nina wasiwasi ntalala na baridi kwa sababu hadi shemeji/wifi yenu wamemsomba hawa FFU.Yaani ilikuwa ni zoazoa.Watu wapo kwenye ofisi zao wametolewa kwa fujo hadi kituo kikuu cha polisi.