Najua wengi wenu mtahisi au mtaniona kama mropokaji lkn kamwe damu ya kitanzania na kamwe haitakuwa ya tanganyika wala ya kizanzibari. kwangu hupatwa na mfadhaiko nikimsikia mtu anajitambulisha yy ni mzanzibari au yy ni mtanganyika. uchezeeni muungano leo lkn kesho mutajuta. tunachotakiwa ni kuurekebisha mfumo wa muungano wa si kutengana haswa ktk wakati huu ambao tuhitaji kuujenga uchumi wetu. lkn mkiamua kamwe sitokuwa mtanganyika wala mzanzibari.
ni kujidanganya kusema zanzibar itakuwepo baada ya kuuvunja muungano. kama mnakumbuka mii ya hivi ya karibuni kuna wazee wa kipemba walikwenda ofisi za umoja wa mataifa kutaka kuwasilisha malalamiko yao ya kutaka pemba na unguja zitenganishwe kwani unguja imekuwa inainyima pemba fursa za kupata maendeleo. ndugu nawaambia muungano una umuhimu sana kwetu sisi lkn kama mnahisi hauna maana jaribuni kuuvunja na muuone matokeo yake. MUNGU UJAALIE MUUNGANO WETU UDUMU, MUNGU TUJAALIE TUZIREKEBISHE KASORO ZA MUUNGANO WETU SALAMA. MUNGU NIJAALIE NIWE MTANZANIA DAIMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA. MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU TUUPUSHIE MBALI WALE WOTE WASIOTUTAKIA MEMA KTK MUUNGANO WETU.
Kwangu hupatwa na mfadhaiko nikimsikia mtu anajitambulisha yy ni mzanzibari au yy ni mtanganyika.
kuna fursa nyingiu wanazopata wazanzibari au watanganyika ktk muungano
japo sikatai kama kuna matatizao ktk muungano wetu kutokana na viongozi wetu ama muundo wa muungano;
hivi sasa wazanzibari wana fursa sawa za kujiunga na vyuo ambavyo vipo tanganyika kama ilivyo kwa watanganyika kwa vyuo ambavyo vipo zanzibar. pia wazanzibar hawana kikwazo chochote cha kufanya kazi au biashara zanzibar kama ilivyo kwa watanganyika kwa upande wa zanznibar. na zipo fursa nyingi amabazo sisi wananchi wa pande zote mbili kwa namna moja ama nyingine tunafaidika kutokana na muungano wetu. lkn nahisi wanaosema huu muunganop hauna faida nio bora uvunjike watupe ni hasara zipi wanazipata kutokana huu muungano na kwanini tusioboreshe muungano na kuundoa hizo kasoro zake badala yakje tuuvunje?
Hatuwezi kujuta, muungano sio lazima, viinchi vingapi vidogo kama karanga vina nguvu kuliko Tanzania na li muungano lake?... uchezeeni muungano leo lkn kesho mutajuta.
Mimi ni mtanganyika orijinali na pata huo mfadhaiko mpaka ulowe ukimaliza .
Nipe faida kuu 5 za muungano na sizewe za kufikirika!.
Kama wewe ni mwanafamilia wa wanasihasa njaa wanaofadika na muungano lazima utautetea tu.
Hatuwezi kujuta, muungano sio lazima, viinchi vingapi vidogo kama karanga vina nguvu kuliko Tanzania na li muungano lake?
Swaziland, Lesotho, Botswana, wameungana na nani?
Hatujaenda Ulaya, viinchi kama Belgium, Luxembourg, Uswizi wameungana na nani?
Kill the Muungano!
ni kujidanganya kusema zanzibar itakuwepo baada ya kuuvunja muungano. kama mnakumbuka mii ya hivi ya karibuni kuna wazee wa kipemba walikwenda ofisi za umoja wa mataifa kutaka kuwasilisha malalamiko yao ya kutaka pemba na unguja zitenganishwe kwani unguja imekuwa inainyima pemba fursa za kupata maendeleo. ndugu nawaambia muungano una umuhimu sana kwetu sisi lkn kama mnahisi hauna maana jaribuni kuuvunja na muuone matokeo yake. MUNGU UJAALIE MUUNGANO WETU UDUMU, MUNGU TUJAALIE TUZIREKEBISHE KASORO ZA MUUNGANO WETU SALAMA. MUNGU NIJAALIE NIWE MTANZANIA DAIMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA. MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU TUUPUSHIE MBALI WALE WOTE WASIOTUTAKIA MEMA KTK MUUNGANO WETU.
naombeni wale wote ambao wanasema muungano uvunjike wataje hasara mbili 2. mimi nimeshataja faida ninazoziona
1: elimu - wazanzibari wanfaidaka ktk elimu ya juu wakija kusoma tanganyika wankopeshwa sawa na wanalip[a ada sawa kama watanganyika na watanganyika wakienda zanzibar hivyohivyo wanapata fursa hiyo.
2; kuna free trade btn zanzibar na tanganyika. mzanzibar hapati aina yyte ya kikwazo akitaka kufanya biashara tanganyika kwa sababu ya uzanzibar wake na mtanganyika hivyohivyo hapati vikwazo akitaka kufanya biashara zanzibar.
sasa nyinyi munaouona hauna faida tajeni hasara mbili mnazozipta kwa ajili ya huu muungano wetu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU UBARIKI MUUNGANO WETU.
Kwani wanaotaka muungano uvunjwe umesikia wanakuambia ubadilishe jina la huku bara? wewe baki na tanzania wao watachukua Zanzibar kwani zanzibari ina bendera yake, ina wimbo wake wa taifa,ina nembo yake, ina bunge lake na vyote hivyo vinatambulika kimataifa.
hicho ndicho kinacho nishangaza mimi hadi leo hii,huu muungano hauelewi,mala zanzibar sio nchi lakini ukiwa zenzi unakuta wanaendesha nchi yao kwa sheria,kanuni na taratibu zao kama ulivyo taja wanakila kitu cha kuitambulisha kuwa ni nchi sasa huu muungano ni nani na nani?
kama vipi nasi tuwe na nyimbo yetu,bendera,nembo yetu,
YAANI MUUNGANO HUU BADO SIUELEWI KABISAAAA