Picha tafadhali!
Picha tafadhali!
Mwisho wa dunia jamani
Mkuu hilo vumbi linamaanisha uchafu wa rasimu ya katiba mpya ya CCM iliyopendekezwa na Chenge na Samwel 6. Hivyo wananchi wanataadharishwa wakiiendekeza au kuendelea kuisoma vumbi litajaa machoni mwao. Over!VUMBI LAFUNIKA ANGA: Vumbi zito latishia uhai wa wakazi wa Gairo, Kibaigwa, Kongwa na Dodoma mjini jioni hii; lazagaa na kutanda angani; watu wajifungia ndani.