Vumbi la kongo

Vumbi la kongo

kitaruo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2018
Posts
200
Reaction score
163
Habar za jumapili wadau, polen kwa kaz, natumain muwazima wa afya na aman!
Bila kuchelewa, ngoja niende straight to point.
Mwaka juz, nilianza kusikia marafiki zangu wa kizungumza kuhusu vumbi la kongo, sikutilia maanan kwasababu likua busy na xul.
Lakin mara kwa mara nimesikia vijana wakizungumza kuhusu, hiki kitu kinaitwa vumbi la kongo.
Rafiki yangu nilipo muulizia akanieleza , akaniambia, ni dawa ya asili, kutoka kongo, ambayo huongeza nguvu za kiume.
Inaoneza vip?' Akaniambia kuwa, unapakaa na maji kwenye kichwa cha uume, yaan dushell, hii ni kabla ya kuingia kwenye tendo lenyewe, yaan kabla ya kugegeda...
Nataman sana kujua, nataman sana kuitumia, lakin ali nisisitiza , inamadhara siku za huson, akasisitiza niwe makin



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar za jumapili wadau, polen kwa kaz, natumain muwazima wa afya na aman!
Bila kuchelewa, ngoja niende straight to point.
Mwaka juz, nilianza kusikia marafiki zangu wa kizungumza kuhusu vumbi la kongo, sikutilia maanan kwasababu likua busy na xul.
Lakin mara kwa mara nimesikia vijana wakizungumza kuhusu, hiki kitu kinaitwa vumbi la kongo.
Rafiki yangu nilipo muulizia akanieleza , akaniambia, ni dawa ya asili, kutoka kongo, ambayo huongeza nguvu za kiume.
Inaoneza vip?' Akaniambia kuwa, unapakaa na maji kwenye kichwa cha uume, yaan dushell, hii ni kabla ya kuingia kwenye tendo lenyewe, yaan kabla ya kugegeda...
Nataman sana kujua, nataman sana kuitumia, lakin ali nisisitiza , inamadhara siku za huson, akasisitiza niwe makin



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini utumie dawa? Una upungufu wa nguvu za kiume au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaona hiyo haifai kanunue diclopar ile ya tyubu ambayo hutumika kuchua km umeumia kisha pakaa mjusi kafir baada ya dkk chache wa kisha kapige mzigo!ni masaa 6

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a.k.a Bundende.
Haiina madhara sema tu utakua unajiumiza wewe kukaa kifuani kwa mtu masaa 2.
Mimi nishaitumia, inachokifanya yenyewe ukipaka kwnye kichwa kinakufa ganzi kwa hiyo hapo kukojoa ni hadi ganzi iishe.
Onyo:
Tumia vumbi kwa demu unaemuamini coz hatar ya maambukizi ni kumbwa kutokana na kusuguana mda mrefu bila kukojoa ( michubuko lazima) na ukivaa kondom kukojoa n issue.
 
Kwann m2 unahangaika na madawa ya kuongeza nguvu na bado kijana?? Fanya mazoezi na kunywa maji mengi(3 litres daily) inasaidia na inaenjoy sex vizur 2 wakat wwte ukihitajika...na hyo vumb ya kongo siku ukikosa unafanyaj sasa??🤔🤔🤔
 
a.k.a Bundende.
Haiina madhara sema tu utakua unajiumiza wewe kukaa kifuani kwa mtu masaa 2.
Mimi nishaitumia, inachokifanya yenyewe ukipaka kwnye kichwa kinakufa ganzi kwa hiyo hapo kukojoa ni hadi ganzi iishe.
Onyo:
Tumia vumbi kwa demu unaemuamini coz hatar ya maambukizi ni kumbwa kutokana na kusuguana mda mrefu bila kukojoa ( michubuko lazima) na ukivaa kondom kukojoa no issue.
Dah,wee jamaa nimekuelewa kweli,ni vyema wadau wote tumwelewe sana hasa hapo kwenye onyo....
 
Back
Top Bottom