Gar nzur sana kwa uimara sema.bwana kwenye spair ni ishu kuna mwarabu flan pale nyuma ya peackok anaitwa Nathoo ndo anaagizaga sana spair za Polo, audi, pidjoo, na VW lakin ikitokea hana bas majanga mpka zije ila nakushaur kama huna pesa ya mawazo ya kufanyia service gar, ya spair na kupeleka garage za uhakika hiyo gar mkataba mkuu!